National Assembly
Thomas Mwadeghu
Current Positions
A member of the 11th Parliament
2022 General Election
No gazetted 2022 result is linked to this profile.
Committee Membership
The certified current committee roster contains no assignment for Thomas Mwadeghu.
Parliamentary Activity
Hon. Mwadeghu Mhe. Spika, ukiangalia hali Wabunge walivyo, hawana nia ya kuendelea na Hoja kama hii. Najua hii Hoja ni ya mbinu ambazo zinatakiwa kutumiwa. Wabunge wamechoka, wamelemewa; wanataka haya mambo yaishe twende tufanye mambo mengine. Lakini, ukweli wa mambo ni kuwa hii Hoja ya mbinu imeletwa hapa kwa kutokubaliana...
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Mhe. Spika, ukiangalia hali Wabunge walivyo, hawana nia ya kuendelea na Hoja kama hii. Najua hii Hoja ni ya mbinu ambazo zinatakiwa kutumiwa. Wabunge wamechoka, wamelemewa; wanataka haya mambo yaishe twende tufanye mambo mengine. Lakini, ukweli wa mambo ni kuwa hii Hoja ya mbinu imeletwa hapa kwa kutokubaliana...
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Ahsante Mheshimiwa Spika kwa nafasi hii ambayo nimepewa ya kuunga mkono Ratiba ya Bunge na mpangilio ambao umewekwa waziwazi vile Bunge itakavyoendesha kazi zake. Naomba nichukue nafasi hii kuwatahadharisha Wabunge wenzangu. Mmekaa hapa karibu miaka minne na mpaka sasa hamjaelewa shughuli za Bunge. Hon. MwadeghuMara nyingi nimeona Mheshimiwa...
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Mhe. Spika, Mhe. Amina alikuwa anasema kuwa ninawatisha Wabunge. Naomba nirudie yale niliyoyasema hapo jana. Ninarudia Mhe. Amina, na si kwa ubaya vile ulivyokuwa umesisitiza kuwa tusitishie Wabunge. Theluthi themanini kulingana na stakabadhi na vile tunavyoelewa, wengine wenu hamtarudi hapa. Kwa hivyo, tafadhali wakati umefika---
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Ni wakati wa lala salama. Wengine mnakunja majavi yenu kabisa, na wegine wanayakunja nusu na watarudi. Kwa hivyo, itategemea uko upande upi. Wengine wetu tumeamua kwa hiyari kwenda kuomba kiti cha ugavana. Wale ambao mmeamua mnarudi hapa, wakati ndio huu ambao umebaki mchangie kikamilifu ule wajibu ambao mmepatiwa...
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Mhe. Naibu Spika, Mhe. wa Kiharu anataka kupotosha Bunge. Ukija katika kaunti yetu ya Taita Taveta utapata watu wanapata fedha kwa kuhifadhi miti. Kwa hivyo, kutojua kwake na kutoelewa kwake kusije kukajumuishwa kuwa nchi yote ya Kenya haina ufahamu kama yeye. Ninaomba Mhe. wa Kiharu asipotoshe Bunge kwa...
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Ahsante sana Mhe. Naibu wa Spika kwa kunipatia nafasi hii ili nami nitoe mchango wangu kwa Hoja hii inayohusu Ripoti ya Kamati ya Mazingira. Ninaomba niseme kwamba ninaunga mkono Ripoti hii ya kuhalalisha Mkataba wa Paris. Ni jambo la kufadhaisha kusema kuwa mageuzi ya hali ya anga hayatuhusu...
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Hon. Temporary Deputy Speaker, would I be in order to ask the Mover to reply given the fact that we are repeating ourselves? The Temporary Deputy Speaker (Hon. (Ms.) Shebesh) : Hon. Mwadeghu, you have already contributed to this Motion. Therefore, you cannot raise that issue. Once you...
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Ahsante sana, Naibu Spika wa Muda kwa nafasi hii uliyonipatia ili nitoe mchango wangu na nipate kuwaeleza wenzangu ambayo yalijiri. Natumaini tuliunda kitengo cha mpito wa Serikali za Kaunti wakazunguke kila pahali, waulize wananchi na viongozi wao ni wapi wangependa makao makuu ya kila Kaunti yawepo. Sisi viongozi...
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Asante, Mhe. Naibu Spika wa Muda, kwa kunipatia nafasi hii ili nami nitoe mchango wangu kwa kuunga mkono Ripoti hii ya Mashirika ya Serikali ambayo imetolewa na Kamati ya Uwekezaji. Ripoti hii imeangazia mambo kadha wa kadha kuhusu mashirika ya Serikali. Inafafanua kwa uwazi changamoto ambazo mashirika haya...
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Mheshimiwa Naibu Spika wa Muda, ningependa kutoa shukrani kwa wakati huu ambao nimepewa kuunga mkono Mswada huu. Ni maoni yangu kuwa pale ambapo kuna vipengele ambavyo vinahitaji marekebisho, vifanyiwe marekebisho ili angalau tupate sheria ambazo zitadumu. Wakati umefika kwa sisi kuangalia kuwa wakati wa uchaguzi, wale ambao wanafanya...
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Asante, Mhe. Naibu Mwenyekiti wa Muda. Ninasimama kuunga mkono kuondolewa kwa kipengele hiki, kwa sababu waandishi wa taarifa na mtu yeyote ana haki ya kupata taarifa zote. The Temporary Deputy Chairman (Hon. Cheboi) : Yes the Member for Kajiado North, Hon. Manje.
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Asante kwa nafasi hii, Mhe. Naibu Mwenyekiti wa Muda. Kipengele hiki kinahujumu Wabunge vile kilivyo. Kuhusu nguvu zinazopendekezwa kwa maafisa wa usalama humu ndani, nina uoga na wasiwasi kuwa watatumia nafasi hiyo vibaya. Kwa hivyo, namuomba aliyeanzisha kipengele hiki, Mhe. Keynan, atafute mbinu ya kukiondoa ili ahakikishe kuwa...
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Ahsante sana Mhe. Spika. Ninasimama kuunga mkono Hoja hii vile ilivyopendekezwa na Mheshimiwa ambaye anaongoza upande wa Serikali. Tukiangalia sheria zetu, zinaturuhusu kuangalia kama Kamati zinaweza kuunganishwa ili tuwe na Kamati moja ambayo ina upande wa Seneti na upande wa National Assembly. Ni jambo ambalo limefikiriwa Hon. Mwadeghuna...
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Asante, mhe. Spika. Nashukuru kwa kupata nafasi hii kutoa mchango wangu kuhusu Hoja hii. Kwanza, ningependa kumpongeza kakangu kwa kuileta Hoja hii Bungeni ili ipate kujadiliwa. Ninaomba kuwaheshimu Wabunge wote ambao wameweka sahihi za Hoja hii. Inamaanisha kwamba Wabunge hao walikaa chini na kutafakari kwa kina. Ndiyo maana...
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Mhe. Spika, aisifuye mvua imemnyeshea. Kama huyu shangazi amependezwa na Duale na ubabe wake ni sawa; sina shida naye. (Laughter)
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Mhe. Spika, ninaomba kumfahamisha mwenzangu kwamba ukizoea wa nazi, wa samli huuwezi. (Laughter) Hon. Mwadeghuyanamshinda licha ya kwamba ni majukumu ya elimu. Tukiangalia jinsi nchi hii inavyoendelea, na tukimwacha ndugu yetu Kaimenyi aendelee---An
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Bw. Spika, mheshimiwa anasema hanielewi. Nitamufafanulia jioni tukikutana baada ya futari yake. Kwa sasa, ninaomba aniache niyaseme. Aelewe asielewe, hiyo ni shida yake. Mhe. Spika, ninawomba Wabunge watafakari iwapo wanataka Prof. Kaimenyi aendelee na kazi ama aondoke. Hoja hii inasema tuangalie kama tunaweza kumptatia nafasi nyingine ama la,...
Official Hansard sourceHon. Mwadeghu Mhe. Spika, nimeyaelewa mambo ambayo ndugu yangu amesema. Mhe. Chepkong’a ni mtu ambaye ninamheshimu sana, lakini hapa hatuzungumzi kuhusu ng’ombe wa Wakalenjin; tunazungumza kuhusu ng’ombe wa Njuri Ncheke kule Meru. (Laughter) Hon. MwadeghuKwa hayo mengi mhe. Spika, naomba kuunga mkono Hoja hii. Asante.
Official Hansard sourceBills Sponsored
Thomas Mwadeghu has not sponsored any Bill.
Voting Record
Divisions are recorded when the House takes a formal vote; most business passes by voice vote.
No voting information as yet.
Motions
No motions recorded yet.
Petitions
No petitions recorded yet.
Questions
No questions recorded yet.
Statements
No statements recorded yet.
Papers Laid
No papers laid recorded yet.