Topics Rashid Juma Bedzimba cares about
Follow Rashid Juma Bedzimba
National Assembly
Rashid Juma Bedzimba
Official Background
A verified biography for this member is not yet available. Only information confirmed against official parliamentary sources is published here.
Current Positions
A member of the 13th Parliament
Committee Membership
- Vice-Chairperson of the Tourism and Wildlife committee.
- Member of the Diaspora Affairs and Migrant Workers committee.
Topics this member is active on
Policy areas drawn from this member's certified verbatim Hansard interventions.
- Devolution 4 4 interventions
- Security & Defense 4 4 interventions
- Education & Skills Development 3 3 interventions
- Governance & Democracy 3 3 interventions
- Disaster Management & Relief 1 1 interventions
- Education — CBC 1 1 interventions
- Environment & Climate 1 1 interventions
- Kenya Defense Forces 1 1 interventions
- Public Service & Civil Servants 1 1 interventions
- Trade & Commerce 1 1 interventions
Parliamentary Activity
Hon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM) Ahsante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipatia fursa hii ya kuchangia Mswada huu. Mazingira ni kila kitu. Katika taifa lenye afya na nguvu, ni lazima mazingira yapewe kipaumbele ili vitu vingine vipatikane. Ninamuunga mkono na kumshukuru Mhe. Mayaka kwa kuuleta Mswada huu wa kuyalinda...
Official Hansard sourceHon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM) Ahsante sana, Mhe. Spika, kwa kunipatia fursa ya kuuliza swali la ziada. Je, Waziri ana ufahamu wa barabara katika Eneo Bunge la Kisauni ambayo imeanza Kiembeni kupitia Mwakirunge kwenda Rabai? Mhe. Rais alikuja kuanzisha rasmi ujenzi wa barabara hiyo inayojengwa na KeRRA. Alipoondoka, matingatinga yote...
Official Hansard sourceHon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM) Ahsante Mhe. Spika wa Muda kwa kunipa fursa kuweza kuchangia huu Mswada wa Nyongeza ya Fedha kwa serikali za ugatuzi. Nimesimama kukubaliana na Kamati ya Bajeti kwa hali ilivyo sasa katika taifa kushindwa kupeleka fedha hizo katika serikali za ugatuzi. Ingawa kwa sasa naweza kukubaliana...
Official Hansard sourceHon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM) Ahsante sana Naibu Spika wa Muda kwa kunipatia fursa ya kuchangia ubora wa chakula ama ulinzi wa chakula bora mpaka ufikie mnunuzi. 15th October 2024 NATIONAL ASSEMBLY DEBATES 49 Hon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM)Ni muhimu kuwe na taratibu ya vipi tutalinda chakula kuanzia pale shambani...
Official Hansard sourceHon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM) Asante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipatia fursa ili nichangie Hoja hii muhimu sana kuhusu elimu. Kwanza, ninampongeza Mhe. Passaris kwa kuileta hapa ili watoto wote wapate elimu ya bure. Lakini, ninataka kukosoa ule mfumo ambao anautaka. Haya mambo yamejaribiwa katika taifa hili; kuwa...
Official Hansard sourceHon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM) Asante sana, Mhe. Spika wa Muda kwa ulinzi huo. Acha nisiwaseme tena. Hizi fedha, kama zingelikuwepo tangu kubuniwa kwa taifa hili, mambo yangelienda vizuri. Shida hizi zote hazingekuwepo. Hata hatungekuwa na sehemu yoyote ya nchi inayosemekana kuwa nyuma, ilhali wengine wamesonga mbele. Hawangelalamikia ukosefu wa...
Official Hansard sourceHon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM) Asante sana, Mhe. Mishi kwa kunipa fursa hii kuchangia Hoja hii kuhusu jambo ambalo linafaa kuangaliwa kwa makini sana. Ni haki ya kila Mkenya kupata matibabu yeyote yale kulingana na maradhi yanayompata. Maradhi ya akili yana daraja na sana sana yanaanzia katika msongomano wa mawazo....
Official Hansard sourceHon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM) Ahsante sana, Mhe. Naibu Spika wa Muda kwa kunipa fursa hii nami nipenyeze sauti yangu. Nasimama kupongeza hazina ya NG-CDF kwa miradi inayofanya mashinani. Kwa kweli, miradi ya NG-CDF ndiyo inayoonekana kila mahali. Ukitembea katika maeneo bunge, utaona bango au ishara zinazoonyesha majengo yaliyojengwa na...
Official Hansard sourceHon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM) Asante sana, Mhe. Spika kwa kunipa fursa niweze kuzungumzia Mswada wa Fedha. Nimesimama kupinga Mswada huu. Kama viongozi, tunapaswa kuheshimu malalamishi ya wananchi na kusikiliza vilio vyao. Kuongeza kwa ushuru wa mafuta kutapandisha bei ya kila bidhaa inayohusiana na mafuta. Jambo hili halifai kabisa, kwa...
Official Hansard sourceHon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM) Ahsante sana, Mhe. Naibu Spika kwa kunipa fursa ya kuchangia Mswada huu. Nachukua nafasi kuwaombea nafasi ya pili wale watoto wetu wa kike ambao wanapata ajali ya kuwa wajawazito. Ni vyema wasiwachwe nje bali wapewe nafasi ili warudi waendeleze masomo yao. Vile vile, Mswada huu...
Official Hansard sourceHon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM) Ahsante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipatia fursa niongeze sauti yangu katika Hoja hii.
Official Hansard sourceHon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM) Ahsante sana Mhe. Spika wa Muda. Kwanza, nampongeza Mjumbe wa Lamu Mashariki kwa kuleta Hoja hii. Anataka maafisa wa jeshi wapewe heshima zao. Ameleta Hoja hii kwa sababu ya mchakato unaoendelea katika eneo bunge lake. Pale ni karibu na msitu wa Boni. Anawaona wanajeshi wakihangaika...
Official Hansard sourceHon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM) Ahsante sana, Mhe. Spika kwa kunipa fursa na mimi nipenyeze sauti yangu kusema pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na familia za wanajeshi waliopoteza maisha yao siku ya Alhamisi. Sisi, kama Eneo Bunge la Kisauni, tumempoteza Brigadier Swale Saidi. Alikuwa kijana shupavu mwenye mategemeo yake makubwa...
Official Hansard sourceHon. Rashid Bedzimba (Kisauni, ODM) Asante sana Mhe. Naibu Spika kwa kunipa fursa hii kuzungumzia swala la National Land Commission. Ni vizuri sana kwa kitengo hiki. Katika taifa la Kenya, tatizo kubwa linalolikumba ni swala la ardhi. Na wao haswa walikuwa wamekuja kwa sababu ya kutatua uzito au matatizo ya...
Official Hansard sourceBills Sponsored
Rashid Juma Bedzimba has not sponsored any Bill.
Voting Record
Voting History: 8
Motions
No motions recorded yet.
Petitions
No petitions recorded yet.
Questions
No questions recorded yet.
Statements
- Request for statement from Chairperson on a matter of public concern request 11 Mar 2026
- Recognition and equation of international curricula certificates by KNEC request 11 Mar 2026
- The criteria for recognition and equation of Certificates and Diplomas obtained from schools offering International Curricula in Kenya request 11 Mar 2026
- Request for statement on education matters request 16 Apr 2025
- the criteria for recognition and equation of certificates and diplomas obtained from schools offering international curricula in the country request 16 Apr 2025
- Criteria for recognition and equation of certificates and diplomas obtained from schools offering international curricula request 26 Nov 2024
- Recognition and equation of international curricula certificates request 26 Nov 2024