Topics Chelule Liza Chepkorir cares about
Follow Chelule Liza Chepkorir
National Assembly
Chelule Liza Chepkorir
Official Background
A verified biography for this member is not yet available. Only information confirmed against official parliamentary sources is published here.
Current Positions
A member of the 13th Parliament
Committee Membership
- Vice-Chairperson of the Regional Development committee.
- Member of the Administration and Internal Security committee.
- Member of the National Cohesion and Equal Opportunity committee.
Topics this member is active on
Policy areas drawn from this member's certified verbatim Hansard interventions.
- Employment & Labor 1 1 interventions
- Governance & Democracy 1 1 interventions
- Youth & Sports 1 1 interventions
Parliamentary Activity
Hon. Liza Chelule (Nakuru County, UDA) Ahsante, Spika Wa Muda. Ningependa kuchangia kuhusu Mswada huu wa jinsia na mambo ya kimaisha. Kabla sijachangia, ningependa kumpongeza Mheshimiwa Donya kutoka Kaunti ya Kisii ambaye ameleta marekebisho ya sheria iliyoko. Mswada huu ni muhimu sana kwa sababu unawafunza na kuwaelimisha wananchi, watu wazima...
Official Hansard sourceHon. Liza Chelule (Nakuru County, UDA) Thank you, Hon. Speaker, for giving me this opportunity. Before I lay the Paper, I would like to thank God for healing Hon. Kirwa. We believe that God will also heal Hon. Wanyonyi. I beg to lay the following Paper on the Table: Report...
Official Hansard sourceHon. Liza Chelule (Nakuru County, UDA) Ahsante sana Mhe. Spika wa Muda kwa kunipatia nafasi pia nichangie Taarifa ya Rais wetu ambayo alitoa wiki iliyopita. Ni Taarifa ambayo ilifurahisha wananchi wote wa Kenya kulingana na kazi ambayo amefanya kwa wakati mfupi sana. Yale mambo yote kwa Taarifa hiyo ni kazi...
Official Hansard sourceHon. Liza Chelule (Nakuru County, UDA) : Asante sana, Mhe Spika, kwa kunipatia nafasi hii pia nipongeze wanariadha wetu kwa kushindania medali mbalimbali. Kwa niaba ya Kaunti ya Nakuru, napongeza sana wanariadha waliotuwakilisha. Kuna mmoja Faith Chepng’etich ambaye ni mkaazi wa Kuresoi South. Amekuwa akishinda medali mbalimbali. Tunajivunia kama Kaunti...
Official Hansard sourceHon. Liza Chelule (Nakuru County, UDA) Asante sana, Mhe Spika, kwa kunipatia nafasi hii pia nipongeze wanariadha wetu kwa kushindania medali mbalimbali. Kwa niaba ya Kaunti ya Nakuru, napongeza sana wanariadha waliotuwakilisha. Kuna mmoja Faith Chepng’etich ambaye ni mkaazi wa Kuresoi South. Amekuwa akishinda medali mbalimbali. Tunajivunia kama Kaunti ya...
Official Hansard sourceHon. Liza Chelule (Nakuru County, UDA) Asante sana, Mhe. Spika wa Muda kwa kunipatia nafasi nichangie Mswada huu. Huu Mswada umenifurahisha na utawafurahisha wale ambao wametuchagua. Mswada huu umeletwa bungeni kwa sababu Serikali inataka kuweka mikakati ya kuwasaidia watu walio na shida katika hii nchi yetu ya Kenya. Watakaofaidika ni...
Official Hansard sourceHon. Liza Chelule (Nakuru County, UDA) Asante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipatia nafasi pia nichangie Mswada ulioletwa Bunge la Taifa na Mhe. Makali Mulu. Nampongeza. Mswada huu unaongea kuhusu masuala ya Wabunge. Naunga mkono Mswada huu kwa sababu unashughulikia masuala ya Wabunge. Tunaelewa tunapochaguliwa kufika hapa Bunge, tunatekeleza...
Official Hansard sourceHon. Liza Chelule (Nakuru County, UDA) Ahsante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipa nafasi hii nichangie mambo yanayohusu nafasi za kazi katika nchi yetu ya Kenya. Kwanza, ningependa kumshukuru Chairman wangu aliyeleta mjadala huu katika Bunge jana. Ripoti hii ilisikilizwa sana na Wajumbe waliokuwa ndani ya Bunge wakati huo....
Official Hansard sourceHon. Liza Chelule (Nakuku County, UDA) Thank you, Hon. Temporary Speaker for giving me this opportunity. Waziri, I welcome to the National Assembly and I congratulate you for your new position of Cabinet Secretary for Environment, Climate Change and Forestry. Hon. Speaker, could the Cabinet Secretary for Environment, Climate Change...
Official Hansard sourceHon. Liza Chelule (Nakuru County, UDA) Thank you, Hon. Temporary Speaker, for once again giving me this time to react to the answers given by the Cabinet Secretary. Waziri, we are not only talking about government forests and other government institutions. I am very passionate about planting trees. We need...
Official Hansard sourceHon. Liza Chelule (Nakuru County, UDA) Thank you, Hon. Speaker, for giving me this opportunity. Thank you, Cabinet Secretary, for appearing before us and congratulations on behalf of Nakuru County. My question to the Cabinet Secretary is about Olenguruone Stadium. Its construction was started 10 years ago, but nothing much...
Official Hansard sourceHon. Liza Chelule (Nakuru County, UDA) Ahsante sana, Mheshimiwa Naibu Spika kwa kunipatia nafasi hii niunge mkono Statement ambayo imeletwa kwenye Bunge na Mhe. Kamket kuhusu mambo ya machifu. Tunaelewa kuwa machifu wanafanya kazi ambayo ni tofauti na nyingine katika nchi yetu ya Kenya. Huwezi kumuondoa chifu kutoka sehemu moja...
Official Hansard sourceBills Sponsored
Chelule Liza Chepkorir has not sponsored any Bill.
Voting Record
Voting History: 9
Petitions
No petitions recorded yet.
Questions
- Could the Cabinet Secretary— (i) outline the factors that contribute to the rising cases of human-wildlife conflict especially for communities that border wildlife conservation areas across the country? (ii) explain the general measures that the Ministry has taken to resolve or suppress these factors and further outline steps taken to ensure that persons living near wildlife conservation areas across the country are able to exercise their right to freedom of movement without interfering with the to Cabinet Secretary for Tourism and Wildlife Pending Source ↗
- Could the Cabinet Secretary— (i) confirm that all public institutions have effectively collaborated with the National Council for Persons with Disabilities (NCPwD) to ensure that their websites are accessible to individuals with disabilities and further provide an update on the registration status of public institutions on the NCPwD Career Portal as of March 2023? (ii) elaborate the steps taken by the Ministry to enhance inclusion and capacity-building of Persons with Disabilities through intern to Cabinet Secretary for Labour and Social Protection Pending Source ↗
- Could the Cabinet Secretary- (i) state the measures put in place to subsidise the high utility bills faced by special needs schools considering that they have a high influx of students and require necessary infrastructure to accommodate them? (ii) clarify whether there are any plans in place by the Ministry, in collaboration with the Ministry of Energy, to subsidize the high costs of electricity in special needs schools? to Cabinet Secretary for Education 3 Apr 2025 Source ↗
- Could the Cabinet Secretary— (i) state the measures put in place to subsidize the high utility bills faced by special needs schools considering that they have high influx of students and require necessary infrastructure to accommodate them? (ii) clarify whether there are any plans in place by the Ministry in collaboration with the Ministry of Energy to subsidize the high costs of electricity in special needs schools. to Cabinet Secretary for Education 14 Nov 2024 Pending Source ↗
- Could the Cabinet Secretary— (i) elaborate on the initiatives undertaken by the Ministry to preserve wetlands and catchments areas within the country and further state the effectiveness of such institutions? (ii) Explain the measures the Ministry has put in place to safeguard indigenous tress planted in Kenyan forests considering the significant threat posed by charcoal burning activities? (iii) Provide the status of the Community Forests Associations nationwide and further state the steps taken to Cabinet Secretary for Environment, Climate Change and Forestry 2 Oct 2024 Answered Source ↗